Posts

Showing posts from October, 2017

PATRICK NGOWI SUCESS STORY

Image
The main theme of putting this story is to motivate and encourage those people who want to succeed by taking opportunities, Not only enjoy reading the story but also i am encouraging you to LEARN from it. Patrick did things that youth have to learn and take action. THE STORY!!! Patric Ngowi was born in Tanzania in 1985. Though raised by scholars, he grew up not looking in the direction of a career in academics, but with the absolute mindset of an entrepreneur. At the age of 15, Ngowi was already selling airtime top-up vouchers .  Spotting this business opportunity, Ngowi raised a loan of $50 Dollars from his mother  (May God bless all mothers who do this) , started purchasing airtime vouchers from large dealers, and finally re-selling to the locals. Saving them both the time and stress they originally experienced. After finishing high school, Ngowi took a trip to Asia, where he discovered yet again another business opportunity of importing mobile phones in Tanzania. Th...

JIFUNZE NIDHAMU YA KUWEKA AKIBA YA FEDHA

Image
KUWEKA AKIBA KUNAHITAJI NIDHAMU Kama unapenda kufanikiwa katika biashara basi anza kujifunza kuwa na nidhamu ya matumizi bora ya fedha unazozipata. Inawezekana umeajiriwa na unapata mshahara kila mwisho wa mwezi, Je kuna kiasi chochote cha pesa huwa unabakisha kama akiba? Maisha hayatabiriki kuna mambo mengi mbele yetu ambayo kwa namna yeyote ile hatuwezi kuyatabiri (unforeseen events) akiba imekuwa mkombozi mkubwa kwa matatizo ya aina hiyo. Kama unapenda kuanza biashara na huna kabisa mtaji wa kuanza nao ila una mahali unapata hela kama malipo, basi nakushauri anza kuwa na mipango thabiti ya kuweka akiba. Jiwekee wajibu ambao ni lazima uutimize kila siku, unaweza kujiwekea wajibu wa kuweka 500 kila siku. Hii itakusaidia sana kuwa na nidhamu ya fedha lakini pia kujibana kwa ajili ya kitu fulani. Najua watu wengi wamekuwa na matamanio ya kuweka akiba lakini huwa wanashindwa njiani na kuitumia akiba waliyoweka eti kwa sababu walikuwa na uhitaji wa fedha kwa wakati huo hivyo wakaona...